Abu Anas Al Libi,anadaiwa kuwa na uhusiano na kundi la kigaidi la Al-Qaeda na amekuwa akisakwa kwa kuhusika na mashambulizi ya kigaidi dhidi ya balozi za marekani nchini Kenya na Tanzania mwaka 1998.MAREKANI:AL-LIBY ALIKAMATWA KIALALI LIBYA.
Marekani imesema kuwa hatua ya makomandoo wake kumkamata mshukiwa wa ugaidi Abu Anas Al Libi haijakiuka sheria .
Abu Anas Al Libi,anadaiwa kuwa na uhusiano na kundi la kigaidi la Al-Qaeda na amekuwa akisakwa kwa kuhusika na mashambulizi ya kigaidi dhidi ya balozi za marekani nchini Kenya na Tanzania mwaka 1998.
Abu Anas Al Libi,anadaiwa kuwa na uhusiano na kundi la kigaidi la Al-Qaeda na amekuwa akisakwa kwa kuhusika na mashambulizi ya kigaidi dhidi ya balozi za marekani nchini Kenya na Tanzania mwaka 1998.
0 maoni:
Post a Comment