West ham waiadhibu Spurs iliyo sajili kwa mabilioni.
Ravel Morrison ndiye aliye funga bao la 3 na la ushindi kwa timu ya west ham ilipoiadhibu Tottenham 3-0 Hakuna mtu aliye tarajia kwamba Tottenham wangechapwa namna hilivyo sasa hasa kwa kuzingatia kuwa ndivyo ilivyo vunja rekodi ya pesa nyingi za kuwanunua wachezaji wapya
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 maoni:
Post a Comment