Kenyatta awasili Amsterdam Uholanzi

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amewasili katika uwanja wa ndege wa Schiphol mjini Amstedam leo siku moja kabla kuanza kikao maalumu katika mahakama ya kimatiafa ya uhalifu ya ICC mjini The Hague kitakachotathmini tarehe kesi yake itakapoanza. Msemaji wa rais Kenyatta, Manoah Esipisu, amethibitha kiongozi amewasili nchini Uholanzi muda mfupi baada ya kumi kamili saa za Ulaya ya Kati. Kenyatta atakayekuwa rais wa kwanza aliye madarakani kufika katika mahakama ya ICC, alikabidhi maraka kwa muda kwa makamuw ake William Ruto hapo jana kabla kuondoka jijini Nairobi mapema leo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment