Mama Asha Balozi Akabidhi Vifaa kwa Vikundi vya Wanawake


 Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi akizungumza na wananachi na wanavikundi vya ushirika katika kijiji cha Mvuleni Kidoti kutekeleza ahadi aliyowapa hivi karibuni ya kusaidia vikundi vya akina mama.
 Mama Asha akimkabidhi  fedha taslim shilingi 400,000/- Bibi Patima Jaku Ali wa Kikundi cha Ushirika cha Mola tubariki kinachojishughulisha na miradi ya dagaa.
 Mama Asha akimkabidhi vyarahani Marobota na vifaa vyake Bibi  Mboja Silima Juma wa Kikundi cha ushirika cha Hatuyumbishwi vitakavyowasaidia katika kazi zao.
 Bibi Zubeda Silima Ali wa Kikundi cha Ushirika cha Chumvi Mvuleni katika kijiji cha Kidoti akifarjika b aada ya kupokea msaada wa Doti 50 za Kanga na Charahani kutoka kwa Mama Asha Suleiman Iddi aliyefika Kijijini hapo kutekeleza ahadi aliyowapa hivi karibuni
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment