Lowasa Aendelea Kutikisa Tanga leo,Tizama Hii ya mchana


Msafara wa mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha democrasia na maendeleo chadema anayeungwa mkono na vyama vinne vya UKAWA mchana wa leo imemlazimu kusimama muheza Tanga baada ya mamia ya wakazi wa maeneo hayo kuzuia msafara wake ili tu kumuona na kumsikia.Hapa kuna picha za awali ,picha zaidi za mikutano yake leo zitakujia baadae


from Blogger http://ift.tt/1MDL56c
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment