ZEC yaendesha semina kwa watendaji wa vituo vya ugawaji wa shahada za kupigia kura


DSC03427
Msimamizi wa Uchaguzi wilaya ya Magharib Ndg Ali Rashid Suluhu akiwasilisha mada katika mafunzo ya watendaji wa vituo vya Ugawaji wa Shahada za kupigia Kura, mafunzo ambayo yalifanyika ukumbi wa Skuli ya Mwanakwerekwe ”C” tarehe 26/09/2015
DSC03433
Washiriki wa semina ya watendaji katika vituo vya Ugawaji shahada za kupigia Kura wakimsikiliza kwa makini Msimamizi wa Uchaguzi wilaya ya Magharib Ndg Ali Rashidi Suluhu wakati akiwasilisha mada katika mafunzo hayo ambayo yalifanyika ukumbin wa skuli ya Mwanakwerekwe ”C” tarehe 26/09/2015. Mafunzo kama hayo yalifanyika kwa wilaya zote za Unguja na Pemba.

from Blogger http://ift.tt/1MTCq2v
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment