PAPA FRANCIS AMEANZA ZIARA YAKE YA NCHINI MAREKANI



Papa Francis ameanza ziara yake ya nchini Marekani, ambapo anatarajiwa kuwasalimia mamilioni ya wakatoliki wa taifa hilo na kuongelea masuala ya mabadiliko ya hali ya hewa na kukosekana kwa usawa wa kipato.
Rais Barack Obama wa Marekani alimlaki kwa kumkaribisha Papa Francis Marekani alipotua kwa ndege ikiwa ni heshima adimu kutolewa kwa mkuu wa taifa hilo kwa mgeni kutoka nje ya nchi.
Katika ziara yake hiyo Papa Francis atatembelea miji ya Washington DC, New York pamoja na Philadelphia.
Rais Barack Obama akisalimiana na Papa Francis 

from Blogger http://ift.tt/1Mq960B
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment