Picha za wakina LOWASA na UKAWA walichokifanya nyumbani kwa MREMA Vunjo


Mgombea ubunge jimbo la Vunjo Mhe. James Mbatia akiongea na wananchi wa Kahe jimbo la Vunjo katika viwanja vya Oria shule ya msingi leo Jumapili 27/09/2015 

Mhe. Edward Ngoyai Lowassa na Mhe. Fredrick Sumaye wakiwasili katika viwanja vya Oria shule ya msingi na kupokelewa na mgombea wa ubunge kwa jimbo la Vunjo kupitia NCCR Mageuzi,leo Jumapili 27/9/2015





 



Mhe. Edward Ngoyai Lowassa akiongea na wananchi wa Himo katika viwanja vya Himo Polisi leo Jumapili 27/09/2015 

from Blogger http://ift.tt/1RaUMe4
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment