WAKULIMA WA KIJIJI CHA IDIWILI MKIOANI SONGWE WAOMBA PUNGUZO BEI YA MBOLEA.



SONGWE
Baadhi ya wakuliama wa kijiji cha Idiwili wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wameiomba serikali iangaliea uwezekano wa kupunguza bei ya mbolea ambayo kwa sasa ipo juu.

Wakulima hao wamemueleza mbunge wa jimbo la Vwawa Jafeti Hasunga kuwa wanaomba kutekelezewa ahadi ya waziri wa kilimo,mifugo na uvuvi Dk Charles Tizeba aliyoitoa mwezi septemba mwaka huu ya kupunguzwa kwa bei ya mbolea.
Maandalizi ya kulima mashamba yameendelea kushika kasi kwa wakulima katika kijiji cha Idiwili wilayani Mbozi wakulima wanaandaa maeneo kwaajili ya kupanda mahindi.

Wakati wa makadilio ya bajeti ya wizara ya kilimo na mifugo waziri mwenye dhamana Charles Tizeba amesema mfuko wa mbolea ya kupandia utauzwa shilingi ishirini na nane elfu na mbolea za kupandia kilo hamsini zitauzwa shilingi ishirini na sita elfu.

Baadhi ya maduka ya mawakala wa pembeje za kilimo mjini Vwawa kutaka kujua kama wamepokea mbolea za bei nafuu.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment