Uefa: Man City yatinga hatua ya mtoano kwa mara ya nne mfululizo

Uefa: Man City yatinga hatua ya mtoano kwa mara ya nne mfululizo

  • 24 Novemba 2016

Image caption David Silva akiifungia City goli

Mchezaji kiungo David silva ameithibitishia klabu ya Manchester City kuingia hatua ya mtoano kwa mara nne mfululizo kwa kutoka sare ya goli 1-1 dhidi ya Borussia Monchengladbach.
Mchezo huo uliokuwa wa vuta nikutute ulishuhudia kila timu ikimaliza na wachezaji 10 kiungo Lars Stindl akilimwa kadi nyekundu dakika ya 51 kabla ya Fernandinho wa man city kuzawadiwa kadi nyekundu dakika ya 63.
Kocha wa timu ya Manchester City Pep Guardiola amesema amefurahishwa na kiwango cha timu yake na kuongeza kuwa kwa matokeo waliyoyayapata moja kwa moja wameepuka kupangiwa na Bayern Munich

Matokeo ya michezo mingine

Besiktas 3-3 Benfica
FC Rostov 3-2 Bayern Mun
Arsenal 2-2 Paris St G
PFC Ludogorets Razgrad 0 -0 Basel
Napoli 0 -0 Dynamo Kiev
Borussia Mönchengladbach 1-1 Manchester City F.C.
Celtic 0-2 Barcelona
Atlético Madrid 2-0 PSV Eindhoven
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment