UGONJWA UNAOAMBUKIZA KAMA UKIMWI, KAATI YA WATU 100, NANE WANAO.


Ugonjwa unaoambukiza kama UKIMWI, kati ya watu 100, Nane wanao


Hospitali ya Taifa Muhimbili inatarajia kuanza kufanya uchunguzi wa Virusi vya homa ya Ini (Hepatitis B) na kutoa tiba bure kwa wagonjwa watakaobainaika kuwa nao kwa kutumia dawa ya Tenefovir katika kipindi cha miaka mitano ijayo kuanzia tarehe 1 December 2016.

Tanzania itakua nchi ya pili ukanda wa Afrika Mashariki kuanza kutoka huduma ya uchunguzi na matatibu ya ugonjwa wa Ini baada ya Rwanda ambayo imeshaanza udhibiti wa tiba ya ugonjw ahuo. 

Kwa mujibu wa Dr. John Lwegasha ambaye ni Daktari bingwa wa magonjwa ya Ini na Matumbo kutoka Hospitali ya Muhimbili amesema nchini Tanzania kati ya watu 100 watu nane wameambukizwa Virusi vya homa ya Ini.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment