Mgombea wa Uholanzi Aahidi Kufunga Misikiti na Kuwazuia Waislamu..!!!

Mwanasiasa wa Uholanzi, Geert Wilders, anafanya mkutano wa mwanzo wa kampeni yake, na anahisi kuzuwia Waislamu kuhamia nchini humo, na kwamba atafunga misikiti.
Vilevile amawataja raia wa Morocco kuwa kashfa
Ulinzi mkali umewekwa katika mkutano huo karibu na Rotterdam.
Umebaki mwezi mmoja kabla ya uchaguzi, na kura za maoni zinaonesha kuwa chama cha bwana Wilders kina uongozi mdogo, ikilinganishwa na kile cha waziri mkuu, Mark Rutte.
Lakini katika majuma ya karibuni, wafuasi wa Bwana Wilders wamepungua.
Mwandishi wa BBC nchini Uholanzi, anasema kwa vile Bwana Wilders anamuunga mkono Donald Trump, inaonesha amepoteza baadhi ya wafuasi.
Chanzo: BBC

from Blogger http://ift.tt/2lvVYly
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment