Tetesi: Bondi Mbaroni kwa Ujambazi

Bondi Bin Salim akinyoa Rasta
TETESI zilizotufikia sasa hivi zinasema Bondi Bin Salim, yule muigizaji wa filamu ambaye pia ni mpenzi wa Wastara Juma, amekamatwa na Polisi kwa tuhuma za kujihusisha na ujambazi. Tunaendelea kufuatilia na tutawajuza kinachoendelea
Bondi na Wastara wakiwa katika pozi
…Wakiwa katika pozi
…Wakiwa katika pozi

from Blogger http://ift.tt/2kM2PmE
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment