Kijana mwendesha pikipiki akibeba
abiria maarufu kama (Boda boda) katika manispaa ya Tabora ameuawa na
watu wasiojulikana na kumtelekeza aneo la kanisa katholiki Makokola, na
kutoweka na pikipiki yake aina ya Sanlg huku kisu kilichodaiwa kutumika
kumuua kikitelekezwa eneo hilo.
Akizungumza kwa masikitiko eneo la tukio alipouawa mwendesha
pikipiki huyo, katibu wa chama cha waendesha Bodaboda Bw.Kasim Kiduli
amesema kuwa, matuikio ya kukatisha maisha ya waendesha pikipiki
inaonesha kurudi mkoani Tabora, kwani kulikuwa na ukimya kwa muda.
Na Dunia Kiganjani
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 maoni:
Post a Comment