Mkutano wa Kwanza wa Kimataifa wa AATO Wafanyika Zanzibar.



Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)Ndg, Mbwana J.Mbwana akifungua Mkutano wa Umoja wa Vyuo vya Usafiri wa Anga Barani Afrika, akihutubia wakati wa ufunguzi huo wa mkutano wa kwanza wa Umoja huo uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar. 
Rais wa Umoja wa Vyuo vya Usafiri wa Anga Barani Afrika Ndg. Tchagbele Sadamba, akizungumza na kutowa maelezo ya Umoja huo wakati wa Ufunguzi wa Mkutasno wa Kwanza uliotayarishwa na Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.
Afisa wa Civil Avation Training Centre Bi Margareth Kyarwenda akizungumza katika  mkutano huo kuhusiana na mafunzo yanayotolewa na Vyuo vya Usafiri wa Anga Barani Afrika, wakati wa ufunguzi wa mkutano huo uliofanyika katika hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar na kushiriki Nchi wanachama wa Umoja huo barani Afrika. 
Washiriki wa Mkutano wa kwanza wa Umoja wa Vyuo vya Usafiri wa Anga Barani Afrika wakimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya TCAA, akifungua mkutano huo Zanzibar. 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment