Andy Murray katika headlines Uingereza ni kutwaa ubingwa huu


Uingereza imeingia kwenye headilines baada ya mcheza tenis bora duniani Andy Murraykutwaa ubingwa wa michuano ya mchezo huo maarufu kama Davis Cup.
mara2
Timu ya Uingereza imetwaa taji hilo kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1936 baada ya Murray kumshinda  David Goffin raia wa Ubelgiji.
mura3
Murray alimshinda mpinzani wake kwa jumla ya seti 6-3 7-5 6-3 na kumfanya Goffin kupoteza kwa jumla ya 3-1.
Nyota huyu wa tenesi ameingia kwenye historia baada ya kutwaa mataji ya michuano ya Wimbledon, michuano ya wazi ya US Open na ile ya Michezo ya Olimpiki.

from Blogger http://ift.tt/1RgWo83
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment