IVORY YATAHADHARISHA MATUMUZI YA BIDHAA FEKI KWA WALAJI


Kampuni ya IVORI-IRINGA Inawataadharisha Wateja wake  Hususani Wasambazaji na Wauzaji wa Maduka ya Jumla na Reja reja kuwa, kumekuwepo na matapeli katika baadhi ya mikoa Nchini, Wakiuza bidhaa Feki kwa kutumia jina la pipi za Ivori kwa madai ya muonekano mpya wa bidhaa zetu.

Kampuni ya Ivori Iringa haijaubadilisha muonekano wa pipi zake wala Nembo yake,Hakikisha kila pipi unayonunua  ina nembo halisi ya Ivori kutoka Iringa.
kwa yeyote atakaenunua na Kutumia bidhaa  zinazofananishwa na Pipi za Ivori Iringa na kudhurika kiafya, basi kampuni ya ivori iringa haitahusika na malalamiko yoyote.

Ewe Mteja USIDANGANYIKE,
Nunua Pipi orijino ya Ivori Iringa kwa usalama wa Afya yako .
Imetolewa na
Mkurugenzi Mkuu


I.F.B (LTD)

from Blogger http://ift.tt/1P41Qf3
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment