UZINDUZI WA HARAKATI KATIKA SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA


Bendi ya Jeshi la Polisi wakiongoza maandamano ya wanaharakati. 
Wanaharakati kutoka Taasisi mbalimbali wakiwa na mabango yaokwenye maandamano yaliyoanzia Uzuri Sinza na kuishia katika ukumbi wa ubungo plaza jijini Dar es salaam leo.
wanaharakati wakiwa kwenye ukumbi katika kupinga ukatili wa kijinsia ulioadhimishwa leo jijini Dar es salaam. 

from Blogger http://ift.tt/1T56Spo
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment