KIPIGO CHA 6-2 KUTOKA KWA YANGA KIMEWAFANYA KAGERA KUWASIMAMISHA WACHEZAJI.


Klabu ya Kagera Sugar ya Bukoba leo October 27 2016 imeripotiwa na kituo cha Azam TV kutangaza kuwasimamisha wachezaji wake wawili kwa tuhuma za kuhujumu timu hiyo wakati wa mchezo dhidi ya Yanga, uliomalizika kwa Kagera kufungwa goli 6-2.
Kagera Sugar imeripotiwa kuwasimamisha wachezaji wake wawili ambao ni golikipa Hussein Shariff na beki Eric Kiaruzi ambaye alisababisha kufungwa kwa goli la tano na Obrey Chirwa wa Yanga, hiyo ilikuwa baada ya kurudisha mpira nyuma kwa golikipa David Buruhani lakini ukanaswa na mshambuliaji wa Yanga Donald Ngoma.
CHANZO: Azam TV
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment