MANENO 41 ALIYOANDIKA JAKAYA KIKWETE KUHUSU MATUMIZI MABAYA YA PICHA ZAKE MITANDAONI.


Rais mstaafu kutoka kwenye awamu ya nne ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete ameamua kujibu kile kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii katika siku za karibuni.
Kupitia Twitter page yake Mstaafu JK ameandika >>> ‘Nasikitishwa sana na matumizi mabaya ya picha zangu mtandaoni hususan watu kunilisha maneno kwa kutaka kutimiza malengo yao ya kisiasa
Nimestaafu naomba niachwe nipumzike nisingependa kuhusishwa na siasa za mtandaoni dhidi ya serikali… namuunga mkono Rais na Serikali yake‘ – Jakaya Kikwete.
screen-shot-2016-10-27-at-11-20-45-pm
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment