NYUMBA YA ADOLF HITLER KUVUNJWA AUSTRIA.



Nyumba nchini Austria ambayo Adolf Hitler alizaliwa inatarajiwa kuvunjwa ili kuzuia kuwa kituo cha wanachama wa Nazi.
Hatma ya nyumba hiyo ilijadiliwa huku kukiwa na mgawanyiko wa maoni wa kuivunja ama kubadilisha matumizi yake.
Mjadala huo ulitatiza baada ya mmiliki wa jumba hilo kukataa kuiuza.
Lakini waziri wa maswala ya ndani Wolfgang Sobotka alisema kuwa kamati ya wataalam iliamua kwamba nyumba hiyo ivunjwe,kulingana na gazeti moja la Austria.
Jumba jipya litakalojengwa litatumika kwa maswala ya utawala ama hisani gazeti hilo liliongeza.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment