Netanyahu: Moto mkubwa Israel umesababishwa makusudi

Netanyahu: Moto mkubwa Israel umesababishwa makusudi

  • Dakika 34 zilizopita
Image caption Bado haijajulikana nini chanzo cha moto huo.
Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema kuwa moto mkubwa ulioenea Magharibi mwa nchi hiyo huenda umesababishwa makusudi na yawezekana likawa ni tukio la kigaidi.
Akizungumza na wananchi katika mji wa Haifa ampapo zaidi ya maelfu ya wananchi waliondolewa kwenye makazi yao, amesema ni moja kati ya milipuko sita ya moto iliyowahi kutokea siku chache zilizopita ambapo maelfu ya makazi yameharibiwa kwa moto.
Moto huo unachochewa na hali ya ukavu unaosababisha moto kuenea haraka.
Image caption Waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu
Nchi kadhaa zimetuma vikosi vya ndege vya zimamoto kusaidia kuzima moto huo ulionea pakubwa kwa muda mfupi.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment