TANESCO WATAKIWA KUHAMIA LUPEMBE JUMATATU WIKI IJAYO


NAIBU waziri wa Nishati na Madini Dr. Medard Kalemani
ameagisha shirika la umeme Tanzania Tanesco kufungoa ofisi zake jumatatu wiki
ijayo katika halmashauri ya wilaya ya Njombe ili kuwasogezea wananchi huduma ya
Umeme.
Hayo ameyasema wakati akizungumza na wakazi wa Matembe
halmashauri ya wilaya ya Njombe ambako wananchi wake wamekuwa wakisafiri umbari
mrefu kutafuta huduma.

Hiyo ni kauli ya kalemani wakati akizungumza na hawa
wananchi.
Meneja wa tanesco mkoa wa Njombe anasema ijumaa ya wiki hii ataanza
kufanya maandalizi ya kuhamia eneo hilo la matembwe.

from Blogger http://ift.tt/2g03eA5
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment