MWAKYEMBE AAHIDI KUENDELEA NA VITA DHIDI YA USAFIRISHAJI WA MADAWA TANZANIA.

dawa za kulevya zizokuwa zikitaka kusafirishwa uwanja wa ndege kwenda italy
Waziri wa uchukuzi wa Tanzania Dkt. Harrison Mwakyembe amekamata madawa ya kulevya mara baada ya dhiara ya ghafla katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa mwalimu juliasi nyerere jijni dar es salaam.
Mwakyembe aahidi kuendele na vita zidi ya madawa ya kulevya Tanzania.
www.jichopembuzi@gmail.com
Mwakyembe amemtaja kijana uyo aitwaye JERADI JEREMIA MOYO ambaye atafunguliwa mashtaka kwa sasa,na amesisitiza kwamba suala la madawa ya kulevya limetuchafua jina kimataifa kwani watanzania wengi wamekuwa wakishikiliwa na mataifa mbalimbali.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment