WATU WATUMIA MIFUKO YA RAMBO BADALA YA KONDOMU

www.jichopembuzi@gmail.com
Katika hali isiyo ya kawaida baadhi ya wananchi mkoani kilimanjaro mjini moshi wameladhimika kutumia m
mifuko ya plastiki (malboro} kujikinga na maambukizi ya ukimwi huku wengine wakichangia kondomu

Mkuu wa mkoa wa moshi Reonidasi Gama  amesema maambukizi ya ukimwi yamepanda kutoka asilimia 1.9 mwaka 2007/2008 hadi kufikia asilimia 3.8 mwaka  2011/2012 na kudai kuwa maeneo yalio athilika katika mji wa moshi ni pamoja na TTC,MIKA,MALANGU,MTONI,KIBOSHO.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment