mji mkuu wa misri,cairo umeripotiwa kuwa kimya,baada ya opereshini ya kinyama |
kwa data zilizo pelekwa umoja wa mataifa ina semekana watu walio kufa ni 278 lakini Jichopembuzi lilibaini watu zaidi ya 500.
bango la picha ya bwana morsi pamoja na gari la kivita lililotumiwa kuwatawanya waandamanaji |
Akilaani vikali vurugu zilizo tokea Bi Ashton amesema kuwa ni juhudi za pamoja pekee kati ya wamisri wote pamoja na jamii ya kimataifa ndizo zitakazo lejesha taifa hilo katika demokrasia.
0 maoni:
Post a Comment