![]() |
mji mkuu wa misri,cairo umeripotiwa kuwa kimya,baada ya opereshini ya kinyama |
kwa data zilizo pelekwa umoja wa mataifa ina semekana watu walio kufa ni 278 lakini Jichopembuzi lilibaini watu zaidi ya 500.
![]() |
bango la picha ya bwana morsi pamoja na gari la kivita lililotumiwa kuwatawanya waandamanaji |
Akilaani vikali vurugu zilizo tokea Bi Ashton amesema kuwa ni juhudi za pamoja pekee kati ya wamisri wote pamoja na jamii ya kimataifa ndizo zitakazo lejesha taifa hilo katika demokrasia.
0 maoni:
Post a Comment