U HEARD: DIAMOND PLATNUMZ ATAJWA KUHUSIKA KUVUNJIKA UHUSIANO WA TUNDA.

Burudani

U HEARD: Diamond Platnumz atajwa kuhusika kuvunjika uhusiano wa Tunda

U Heard ya XXL ndani ya Clouds FM leo ipo na stori kuhusu kuvunjika kwa uhusiano wa kimapenzi kati ya Video Queen Tunda na mwanaume anayedaiwa kuwa ndiye anayegharamia kila kitu kwenye maisha ya Tunda kuanzia magari, nyumba, simu na starehe zote.

Sababu za kuvunjika kwa uhusiano huo imetajwa kuwa ni baada ya Tunda kuanza kutoka kimapenzi na mwimbaji star Diamond Platnumz na weekend iliyopita walikuwa wote Zanzibar kwenye show ya Diamond.
Soudy Brown ameipata sauti ya Tunda akijieleza na kujitetea kwa Sponsor wake juu ya kuonekana kwake Zanzibar akiwa karibu na crew ya Diamond Platnumz.

“Mimi nilienda Zanzibar sikwenda kwa Diamond nilienda na Posh na bwana ake Posh kama una namba ya Posh mpigie umuulize, Kwani haumjui Posh yule rafiki yangu wa Kariakoo nilikwambia kuna rafiki yangu ana bwana mchina amemuoa. Ndo alinipigia tukaenda wote Zanzibar”;-Tunda 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment