Ufafanuzi kuhusu fedha kukauka mifukoni mwa watu


Kumekuwepo na malalamiko ya watu wengi kusema kuwa fedha imekauka mfukoni hasa kipindi hiki, Leo November 30 2016 Msajili wa hazina, Lawrance Mafuru amezungumza na wandishi wa habari moja wa ishu aliyoitolea ufafanuzi ni kuhusu malalamiko ya wengi kuwa fedha kwa sasa imekuwa ngumu kupatikana.

>>>’Kama nchi tumeamua kwamba badala ya kupeleka fedha kwenye matumizi ya kawaida ambayo yangeingia kwenye mzunguko wetu, fedha zetu zimekwenda kwenye miradi mikubwa ambayo matokeo yake hayaonekani sasa hivi’
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment