Mimi naamini asilimia 90 kwamba Instagram ni ya shetani- Justin Bieber



Justin Bieber amekuwa mbali na mtandao wa Instagram tangu mwezi August 2016 ambapo alijiondoa rasmi kwenye mtandao huo hali ambayo imesababisha mashabiki wake kumiss kumuona kwenye mtandao huo ambao unamuwezesha mtumiaji kutuma picha pamoja na video.

Akiwa kwenye show yake London aliuliza mashabiki “nani angependa nirudi Instagram? huku mashabiki wakishangilia kwasauti kumaanisha wangependa arudi tena ila Justin alisema hawezi kurudi Instagram kwani anaamini mtandao huo ni wa shetani na unatupeleka kuzimu na hawezi kurudi kwenye mtandao huo.

>>> “Nah, I don’t want to get my Instagram back… I’m sure… I think hell is Instagram. I’m 90 percent sure. We get sent to hell, we get like locked in the Instagram server.” – Justin Bieber
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment