Picha 19 : WCB walivyozikonga nyoyo za wapenzi wa muziki Iringa

 

Baada ya December 24 kuangusha show kwenye fukwe za Jangwani Sea Breeze, jijini Dar es Salaam, timu nzima ya WCB ilielekea Iringa kushererehea sikukuu ya Christmas kwa show kubwa kwenye viwanja vya Samora.

Wakiongozwa na bosi wao, Diamond Platnumz, wasanii wengine wa WCB walioangusha show ni pamoja na Rich Mavoko, Raymond, Harmonize na Queen Darleen. Picha zinaonesha jamaa walivutia nyomi ya kutosha. Jione picha hapo chini.

















Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment