Waziri Mwijage kuhusu kufungwa kiwanda cha Dangote na ubora wa makaa ya mawe


Siku moja baada ya kiwanda cha Dangote kilichopo Mtwara kuripotiwa kwamba kimesitisha uzalishaji, watu mbalimbali wakiwemo wachumi, wanasiasa walitoa maoni tofautiofauti huku maneno mengi yakiendelea kwenye mitandao ya kijamii.

millardayo.com na AyoTV imempata Waziri wa Viwanda, biashara na uwekezaji, Charles Mwijage na ameeleza sababu za kiwanda hicho kufungwa na kuhusu maneno yaliyoenea kuwa wenye viwanda vya saruji wamefunga viwanda kugomea makaa ya mawe ya hapa nchini kwa madai kuwa hayana ubora kama wanayopata nje ya nchi.

>>>’Mkurugenzi mtendaji wa Kiwanda amesema ni tatizo la kiufundi na litarekebishwa katika kipindi kifupi kischozidi wiki mbili’-Waziri Mwijage
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment