Karibu Buguruni Dsm, sasa hivi wa miguu tunavuka kwa juu tu


Karibu Dar es salaam ya Makonda, jiji lenye foleni na magari mengi zaidi kuliko mji mwingine wowote Tanzania na hiyo inasababisha foleni kila siku lakini foleni haisababishwi na magari peke yake bali hata sehemu wanazovuka watu kwa miguu.
Buguruni ni moja ya maeneo ambayo wavuka kwa miguu walikua wanachangia sana foleni au magari kwenda taratibu kila yanapofika kwenye eneo hilo lakini leo hii hali imebadilika,
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment