Baada ya Uwoya kusema anapenda wanaume wagumu, Fid Q amjibu

Baada ya malkia wa filamu nchini Irene Uwoya kutoa kauli yake ya kuwa anapenda wanaume wagumu na kumtolea mfano Fid Q, rapper huyo amefunguka na kuzungumzia kauli ya muigizaji huyo.
Fid Q amedai yeye siyo mwanaume mzuri lakini ana good look.
“Mimi wakiitwa wanaume wabaya siwezi kwenda lakini pia wakiitwa mahandsome boy siwezi kwenda, lakini najijua mimi ni good look,” alisema Fid Q.
Pia rapper huyo amempongeza muigizaji huyo kwa jicho lake la kumuona na kumtolea mfano

from Blogger http://ift.tt/2l8FfnI
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment