MAAJABU : Tazama VIDEO ya Kijana Aliyetengeneza GARI huko Mwanza kwa Kutumia Vifaa vya Baiskeli

Tanzania ni nchi ambayo imekuwa nyuma sana kiteknolojia, sio viwanda vya kutengeneza hata pipi, toothpick nk vimekuwa ni adimu na vitu vingi tunavyotumia vimekuwa vikiagizwa nje ya nchi… Kama hilo halitoshi, vijana wanaoonyesha jitihada za kubuni vitu mbalimbali vya kiteknolojia wamekuwa hawapewi sapoti inayostahili…. Mfano ni kijana huyu aishiye mwanza wilaya ya Kwimba, Ameweza kutengeneza Gari kwa kutumia vifaa vya baiskeli na linatembea barabarani. Tazama Video Hapa chini

from Blogger http://ift.tt/2kDEiFb
via IFTTT


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment