PICHA 6:WATU 12 WAMEJERUHIWA NA WATATU KATI YAO WAMELAZWA BAADA YA AJALI HILIYO USISHA MABASI YA HAPPY NATIONS,ABOOD NA GARI YA MIZIGO.



Watu 12 wamejeruhiwa na watatu kati yao wamelazwa katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa baada ya kutokea ajali iliyohusisha magari mawili ya abiria na lori moja, katika eneo la Mlima wa Kitonga wilaya ya Kilolo mkoani Iringa.

 16939398_1143754535733361_8069999251089772412_n.jpg


Akizungumza  baada ya kutokea kwa ajali hiyo ,  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Julius Mjengi alisema magari yote matatu yaliyohusika kwenye ajali hiyo yalikuwa yakienda jijini Dar es Salaam.


Ameyataja mabasi yaliyohusika kwenye ajali hiyo kuwa ni ya Kampuni ya Happy Nations, Abood na gari moja la mzigo.

Mjengi amesema katika ajali hiyo watu 12 walipata majeraha na watatu kati yao wamefikishwa Hospitali ya Rufaa ya mkoani Iringa kwa matibabu na tisa kati yao walitibiwa na kuruhusiwa kutoka hospitali.

Kamanda huyo ametaja chanzo cha ajali kuwa ni dereva wa gari la Abood lililokuwa nyuma ambaye aliligonga basi la Happy nations ambalo nalo liligonga gari lilikuwa mbele yake na kusababisha magari yote kuserereka na kutoka pembeni mwa barabara.


17022000_1143800852395396_7055574325318216194_n.jpg





 17155177_1143800922395389_1494184959410715532_n.jpg


 16939503_1143800905728724_8173141113391633377_n.jpg


 17155883_1143800845728730_3847666219554855169_n.jpg

 17155764_10211130434710095_1496899062248581028_n.jpg


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment