WAJIRI NCHINI WAMETAKIWA KUTOKA AJIRA ZA UHAKIKA KWA MADEREVA BODA BODA.



Waajiri nchini wametakiwa kutoa ajira za uhakika kwa madereva badala ya kuwa tumia kama vibarua ili kupunguza tatizi la ajari za barabarani zinazochangiwa na madereva kwalengo la kuongeza kipatochao cha siku kupitia posho wanazao patiwa na waaajiri


 

Posho bila mshahara ndicho kilio kinacho tajwa kuwa chanzo kikubwa kinacha changia ajari za barabarani  ambapo watanzania wengi tayali wamesha poteza maisha kutokana na ajari hizo zinazo sababiswa na shinikizo la kipato duni wanacho patiwa madereva na waajiri wao


Akizungumza wakati wa kuwakabidhi vyeti wahitimu wa udereva katika chuo cha mafunzo na ufundi stad veta mkoa wa mwanza mratibu wa kozi fupi na ujasiliamali wa chuo hicho peter mlacha amewashauri madereva kutoku kukubali kama vibarua


walio hitimu cozi ya udereva katika chuo hicho awamu hii walikuwa na haya ya kusema


Mwenyekiti wachama chama madereva kanda ya ziwa dede petro amesema kutokana na hali hiyo ameimbo saerikali kuweka utaratibu wakuweka vigezo maarumu vya ajira kwa madereva ilikuwaondolea adha ya kunyanyaswa na waajiri wao

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment