DAR JOHN POMBE MAGUFULI ATOA SIKU SABA KWA WAZIRI WA NISHATI KUMPA ENEO DANGOTE .



Dr john pombe magufuli amemwagiza waziri wa nishati na madini  pr sosipitar muhongo kuahakikisha ndani ya siku saba mmiliki wa kiwanda cha saruji cha dangote alhaji aliko dangote anapewa eneo la kuchimba makaa yamawe kwaajiri ya kuendeshea mitambo ya kiwanda chake

RAISI dr pombe magufuli ametoa agizo hilo wakati akizindua magariya kubeba mizigo ya dangote ambayo yalishushwa hivi karibuni katika bandari ya mtwara ambako jumla ya magari mi580 yamezinduliwa kwaajiri ya kusambambaza saruji katika miji mi dogo hapa nchini

 Raisi magufuli ambeye amekaribishwa kuhutubia wananchi na kuzindua magari hayo na mmiliki wa kiwanda hicho alhaji aliko dangote amesema kuwa baadhi ya watu wanakwamisha kiwanda cha dangote kupata makaa yam awe na kwamba ndani ya siku saba mmiliki wakiwanda hicho  anatakiwa aweamepata leseni pamoja naeneo la kuchimba makaa ya mawe



KATIKA MAMLAKA NYINgine ameagiza mamlaka zinazo husika na masuala ya gesi kuuza gesi mojakwamoja kwa mmiliki wa kiwandahicho dila kupitia kwa mwekezaji mwingine



RAISI magufuli pia ameweka jiwe la msingi kwaajiri ya ujenzi wakituo cha kufua umeme cha mtwara ambacho kitazalisha umeme kwaajiri ya mkoa wa lindi na mtwara nakuagiza wadaiwa sugu wa tanesco kukaiwa umeme
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment