Taifa Stars itacheza robo fainali Afrika Kusini leo
















Timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) leo Julai 2 itakuwa na kibarua kizito mbele ya Afrika Kusini kunakomichuano ya COSAFA inayo endelea huko nchini Afrika Kusini.
Wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ wakiingia uwanjani

Stars itacheza mchezo huo wa robo fainali dhidi ya mwenyeji Afrika Kusini baada ya kutoka sare ya goli moja kwa moja dhidi ya Mauritius katika mchezo wake wa mwisho wa makundi.

Bao pekee la Stars lilifungwa na mfungaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simon Msuva na kuiwezesha Tanzania kutinga hatua hiyo ya robo fainali ambapo Stars ni mgeni mualikwa kwakua hayupo katika ukanda wa COSAFA bali yupo katika Shirikisho la Soka la Afrika Mashariki na Kati (CECAFA).
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment