Wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ wakiingia uwanjani
Stars itacheza mchezo huo wa robo fainali dhidi ya mwenyeji Afrika Kusini baada ya kutoka sare ya goli moja kwa moja dhidi ya Mauritius katika mchezo wake wa mwisho wa makundi.
Bao pekee la Stars lilifungwa na mfungaji bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simon Msuva na kuiwezesha Tanzania kutinga hatua hiyo ya robo fainali ambapo Stars ni mgeni mualikwa kwakua hayupo katika ukanda wa COSAFA bali yupo katika Shirikisho la Soka la Afrika Mashariki na Kati (CECAFA).
0 maoni:
Post a Comment