MOURINHO AWAZIA SANA SIKU YA KWANZA.

kocha wa chelsea
Mourinho awazia sana siku ya kwanza stamford Bridge

Kocha wa chelsea,Jose Mourinho amesema itakuwa viguma kujizuia wakati atakapo kaa rasmi katika benchi ya stamford Bridge kwa pambano lao la kwanza hapo kesho jumapili katika ligi kuu ya premier dhidi ya Hull city.

Mourinho aliyejiunga tena klabu hiyo kwa awamu ya pili mnamo mwezi wa juni baada ya kuondoka mwaka septemba 2007.

nitakapo ingia katika uwanja wangu,kukaa katika benchi langu  pamoja na watu, itabidi niwe mtulivu kidogo,Alisema mourinho mwenye umri wa miaka 50 

itanichukua dakika 3 kutafakari na kabla ya kushughulikia pambano lenyewe

Mourinho aliwasili mara ya kwanza Stamford Bridge mwaka 2004 wiki chache tu baada ya kuiongoza Porto ya Urenokunyakuwa kombe la mabingwa ulaya.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment