RAIS WA KENYA ANA FANYA DHIARA KWA NCHI ZA CHINA NA URUSI.

china
Lengo la dhiara hiyo kwa Rais wa Kenya ni kutafuta urafiki wa nchi hizo hili kupata waweke zaji katika mikradi ikiwa katika reli mpya na umeme wa kutosha.


Katika mradi mpya wa reli na umeme zinaitajika takribani dola milioni 2 unusu katika reli inayo tazamiwa kujengwa kutoka Kenya kuunganishwa kwa Uganda na Rwanda.




Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment