LIVE TALK- TATIZO LA HONGO KWA WAAFRIKA MASHARIKI.

WAKAZI wa Afrika mashariki wana athirika katika kila njia goya maisha yao kutokana na kutoa hon.

Polisi wa kenya wametangaza uchunguzi ,utafanyika kutokana na ripoti za kuwepo na njama inayofanywa na kundi la polisi kukusanya fedha kutoka wamiliki watatu NAIROBI,Ili kutosimamisha magari yao kutokana na kosa la barabarani 

Inaripotiwa kwamba kuna polisi aliyekuwa akiweka katika akaunti ya benki shilingi 300,000 sawa na dola 3,400 kila siku zilizo kusanywa kinyume cha sheria.

Mkurugenzi mtendaji wa Transperency International,tawi la kenya SAMUEL KIMEU akizungumza katika Live Talk anasema UGANDA inaongoza katika watu kutoa hongo huko Afrika mashariki kutokana na uchaguzi waliofanya 2012 ikifuatiwa na KENYA,BURUNDI na RWANDA.

PAUL KALOMO wa mega Attorney nchini TANZANIA anasema hali hii inatokana na ukosefu wa nidhamu na inabidi wananchi wenyewe wachukue hatua za kubadili tabia hii.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment