MAREKANI NA RUSSIA ZATOFAUTIANA JUU YA SYRIA.

Ingawa rais OBAMA alipokelewa na Rais PUTIN,PUTIN aliwaambia waandishi wa habari mahusiano kati ya MAREKANI na RUSSIA yamegonga mwamba.

Kutoka mabara sita( 6 ) viongozi wa nchi 20 zenye nguvu duniani walikutana Alhamisi katika Kasri ya RUSSIA iliyojengwa karne ya 18 kujadili namna ya kupiga jeki uchumi wa Dunia.lakini suala la syria liligubika ajenda hiyo.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment