Afisa mkuu wa benki kitengo cha idara mkurugenzi za kibenki Patrick Fata amesema
tunafanya hivi kwa sababu noti ya 500 inachakaa haraka kulinganisha na mzunguko wake na kulinga nisha na watu wengi pia uchakaa haraka kulinga nisha na mzunguko wa kushikwa kwa watu wanao kalibia mpaka milioni moja kwa siku hiyo ni idadi kubwa kuliko ya wanao shika noti ya sh. elfu kumi.
0 maoni:
Post a Comment