BAADA YA NICKI MINAJ,HUYU NI STAA MWINGINE WA DUNIA ALIYE TUMIA NENO LA "KISWAHILI"INSTAGRAM

Stori nyingine kubwa kwa staa wa muziki Duniani kutumia maneno ya kiswahili nakumbuka hilikuwa Desemba 6 mwaka 2013 baada ya kifo cha mzee Nelson Mandela ambapo nicki minaj aliandika maneno ya kiswahili kwenye page yake ya Instagram "madaraka kwa watui"

saa kadhaa zilizopita Headline zimeamia kwa P Diddy ambaye aweka picha chini kwenye page yake ya Instagram na kuweka Hash tage ya SIMBA



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment