SERENGETI BOYS YAPIGWA 4-0 NA AMAJIMBOS,KAMA IMESIMAMA VILE.!!

Timu ya vijana ya Tanzania chini ya miaka 17,Serengeti Boys wamebugizwa mabao 4-0 dhidi ya timu ya taifa ya vijana wa umri huo ya Afrika kusini maarufu kama Amajimbos katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za vijana za mataifa ya Afrika 

Mechi hiyo Rahisi kwa Afrika kusini imepigwa jioni ya leo katika uwanja wa Dobsonville uliopo Soweto na kushuudia wenyeji wakitoka na furaha 

Taarifa kutoka Afrika kusini zinaeleza kuwa Serengeti walizidiwa kila idara na wange pigwa hata mabao 7 kwasababu Amajimbos walikosa magori mengi ya wazi

Serengeti Boys ambao awakuandaliwa tangu siku nyingi ,wiki mbili zilizo pita watoka suluhu ya kutofungana katika mchezo wa kwanza ulichezwa uwanja wa Azam Complex chamazi nje kidogo mwa jiji la Dar es salaam.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment