RAIS MASIKINI ZAIDI DUNIANI.

Rais Jose Mujica akiwa na Papa Francis Sifa kwa wana siasa kokote Duniani ni nadra,lakini watu wamemmiminia sifa Rais wa Uruguay Baadhi wakitamani kama Marais wao wange kuwa kama Rais Jose mujica wa Uruguay 

Kwenye twitter kuna zaidi ya jumbe laki moja ya watu wa nchi ya hispania wakitamani kama waziri mkuu wao angekuwa kama kama Rais maskini zaidi Duniani Jose mujica wa Uruguay.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment