SITISHO FUPI LA MAPIGANO LAFIKIWA HUKO GAZA.

Mara baada ya sitisho la mapigano kuanza,wajumbe wa Israel na Palestina watakwenda Cairo kwa mazungumzo juu kuongeza muda wa kusitisha vita hivyo.

Marekani na umoja wa mataifa wametangaza kuwa Israel na Hamas wamekubalina juu ya sitisho la mapigano la kibinadamu kwa saa 72 bila masharti.

Mara baada ya sitisho hilo la mapigano kuanza ,wajumbe wa Israel na Palestina watakwenda Cairo kwa Mazungumzo juu kuongeza muda wa kusitisha vita hivyo.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment