W.H.O:EBOLA INAWEZA KUWA JANGA BAYA .

Mkurungenzi wa shirika la afya duniani Margeret Chan amesema kuwa kuzuka kwa ugonjwa wa Ebola magharibi mwa Afrika kunaweza kusababisha janga baya iwapo autazuiwa.

Akizungumza mjini Conakry  baada ya kukutana na maraisi wa Guinea,Liberia,na sierra Leone ,amesema kuwa ugonjwa huo unasambaa kwa kasi ukilinganishwa na juhudi za kuhudhibiti,lakini akaongezea kuwa unaweza kusitishwa kutokana na usaidizi wa kimataifa

Marekani inasema kuwa Raia wawili wa taifa hilo wa kutoa msaada wanaugua ugonjwa huo wa Ebola watasafirishwa hadi Marekani mapema wiki ijayo ilikupewa matibabu katika eneo lililo tengwa 

kisa cha ugonjwa huo kitakuwa cha kwanza kutibiwa nchini Marekani.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 maoni:

Post a Comment