Marekani imepitisha mswada unatoa msaada wa kifedha kwa Israel kuimalisha mfumo wake wa kujilinda dhidi ya makombora.
Mswada huo unaotoa dola milioni mia mbili na ishirini na tano kuimalisha mfumu huo ambao umetumiwa kuyatungua makombora kadhaa ya roketi kutoka kwa wapiganaji wa kipalestina katika majuma ya hivi kalibuni
mpango huo wa fedha hata hivyo ni sharti upitishwe na bunge la wawakilioshi na kutiwa sahihi na Rais Obama.
waandishi wanasema wabunge wa Marekani wamekuwa wakiunga mkono Israel hivyo basi mswada huo uwenda usikabiliwe na vikwazo vyovyote.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

0 maoni:
Post a Comment