Kampeni ya kitaifa kuhusu unyonyeshaji wa mtoto inaanza leo kote Duniani na itaendelea kwa siku saba
na mwanzo katika mfululizo wa makala maalumu kuhusu unyonyeshaji wa mtoto tunaanza kwa kuangazia faida ya maziwa ya mama
wataalumu wa Afya wanasema maziwa hayo ni salama kutokana na kuwa na kinga za mwili za kutosha zidi ya magonjwa mbalimbali.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

0 maoni:
Post a Comment